The Information From National Examinations Council Tanzania-NECTA About Form Six Time Table
Taarifa Kwa Umma Toka Baraza la Mitihani Tanzania-NECTA Kuhusu Ratiba ya Mitihani Kidato cha sita 2020
The National Examination Council of Tanzania (NECTA) would like to inform you that the Examination Timetable for Form Six 2020 spreading on social networks that Form Six Exam is scheduled to take place from 9/10/2020 to 23/10/2020 is not true.
The Council said So far the timetable for the exam has not yet come out.
Baraza linapenda kuwajulisha kwamba ratiba ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2020 inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa Mtihani wa Kidato cha Sita umpangwa kufanyika kuanzia tarehe 9/10/2020 hadi 23/10/2020 ni ya Uongo. Hadi sasa ratiba ya mtihani huo bado haijatoka.— Necta Tanzania (@NectaTz) April 7, 2020
0 Response to "The Information From National Examinations Council Tanzania-NECTA About Form Six Time Table"